Shule ya watoto Mbeya wanao Kula vizur sana


 Shule hi ya Watoto wadogo iliyopo jijini Mbeya, maeneo ya Sabasaba,


Imeanzishwa na Mstaafu Afisa Tawala wa Shule ya St.Marys Mbeya anayefahamika kwa jina la Madam Ngonyani.

Kutokana na Ratiba yake ya vyakula katika shule yake Basi bila Shaka ndie shule ya Kwanza ya Watoto Kula vizuri.

Ratiba iko ivi

Juma tatu :pilau rost

Jumanne :ndizi rost

Jumatano: wali rost

Alhamisi :Viazi Rost

Ijumaa :Ugali Rost.

Nb.Matunda Ni Lazima, asubuhi Ni uji wa lishe na Maziwa fresh.

Ivyo mwenyewe umeona Ratiba iyo ebu tuambie kwingine wapi????




Comments